Menu

  • Home
  • Trending
  • Recommended
  • Latest

Categories

  • Blog
  • Education
  • Movies
  • Music
  • News

Subscriptions

  • indwirodagency

Recent News

  • Dancing Father x Hii ni waah waah waah #dance #kenya #uganda #music
  • Aziz Azion – Kano Koze (Official Ugandan Music)
  • Kyagulanyi thanked people who sheltered him
Ugvideos logo
  • Home
  • Browse
    • Movies
    • Education
    • Music
  • Trending
No Result
View All Result
  • Login
UPLOAD
Ugvideos logo
No Result
View All Result

Kenya vs Tanzania: Nani Ana Jeshi Imara Zaidi Afrika Mashariki? (KDF vs TPDF 2025)

indwirodagency by indwirodagency
November 24, 2025
in Movies
378 20
100
Kenya vs Tanzania: Nani Ana Jeshi Imara Zaidi Afrika Mashariki? (KDF vs TPDF 2025)
548
SHARES
2.5k
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

⚠️⚠️📌📌Disclaimer 📌📌⚠️⚠️

The content in this video is created for informational, educational, or entertainment purposes only. It is not intended to intimidate, offend, or discriminate against any individual or group.

We respect and uphold the rights and freedoms guaranteed under the Kenyan Constitution, including the right to human dignity, equality, and freedom of expression. Any views or opinions expressed are solely those of the creator and do not intend to violate any laws or constitutional rights.

If you feel any content violates these principles, please contact us directly so we can address your concerns appropriately.

🔴IIMAGES AND VIDEOS USED ARE FOR ILLUSTRATION PURPOSES ONLY.

Kenya vs Tanzania: Nani Ana Jeshi Imara Zaidi Afrika Mashariki? (KDF vs TPDF 2025)

Je, unajua ni nchi gani ina jeshi imara zaidi kati ya Kenya na Tanzania? 🤔 Katika video hii, tunafanya ulinganisho wa kina na wa kweli (fact-based comparison) kati ya Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF).

Tunachambua takwimu za kijeshi za mwaka 2025 tukizingatia:

✅ Idadi ya Askari (Manpower)

✅ Nguvu ya Vifaru na Magari ya Deraya

✅ Uwezo wa Anga (Air Force) na Helikopta

✅ Nguvu ya Majini (Naval Power)

✅ Bajeti ya Ulinzi (Defense Budget)

Huu ni uchambuzi wa kielimu unaoonyesha nguvu na maeneo ambayo kila nchi inatawala kijeshi katika ukanda wa Afrika Mashariki.

📚 KUHUSU VIDEO HII:

Ulinganisho huu unatumia data zilizothibitishwa kuhusu uwezo wa kijeshi wa Afrika Mashariki. Wakati Tanzania inajivunia jeshi kubwa la kiulinzi lenye uzoefu mkubwa, Kenya inaongoza katika teknolojia, nguvu ya anga, na jeshi la majini. Tazama video hii kujua jinsi bajeti ya Dola Bilioni 1.1 ya Kenya inavyotumika kulinganisha na uwekezaji wa Tanzania

🔥 USISAHAU:

👍 Like video hii kama umefurahia uchambuzi.

💬 Comment hapo chini: Unafikiri ni jeshi gani lingeshinda vitani?

🔔 Subscribe kwa video zaidi za kijeshi na uchambuzi wa kina.

© Copyright Disclaimer ⚠️⚠️📌📌:
under Section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infringing. Non-profit, educational or personal use tips the balance in favour of fair use.

#KDF #Tpdf #UPDF #KenyaMilitary #jeshilatanzania #UgandaMilitary #EastAfrica #MilitaryComparison #KenyaVsUganda #JeshiLaKenya #Museveni #Ruto #MilitaryPower2025 #LixerMedia

Tags: anaEast African Community MilitaryJeshi la KenyaJeshi la UgandaKDF vs UPDFkenyaKenya Air ForceKenya Defence ForcesKenya news todayKenya vs Tanzania militaryMilitary Comparison 2025Museveni vs Ruto MilitarynaniSwahili Military DocumentarytanzaniaTanzania news todayUganda Land Forces.Uganda news todayUPDF UgandaWilliam ruto news todayYOWERI museveni news today
Previous Post

FRED LUMBUYE LIVE: MUSEVENI YEGAYILIDE BOBI WINE ABIGANYE SAAGALA KWOGERA NAWE, ChemicalAliLive

Next Post

Dj X-Vibes Ekikadde Nonstop Mix Featuring Mesach,Haruna Mubiru,Cathrine Kusasira,Ronald Mayinja etc

Next Post
Dj X-Vibes Ekikadde Nonstop Mix Featuring Mesach,Haruna Mubiru,Cathrine Kusasira,Ronald Mayinja etc

Dj X-Vibes Ekikadde Nonstop Mix Featuring Mesach,Haruna Mubiru,Cathrine Kusasira,Ronald Mayinja etc

Comments 100

  1. indwirodagency says:
    4 months ago

    Huyu mchambuzi inaonesha wazi kuwa hajui chochote kuhusu masuala ya kijeshi hebu tumueleweshe vizuri kuhusu ubora wa jeshi la Tanzania na jeshi la Kenya jeshi la tanzania ndio jeshi bora zaidi kuliko jeshi la Kenya kitu cha kwanza unatakiwa ujue majukumu ya jeshi miongoni mwa majukumu makubwa ya jeshi lolote duniani ni kamisheni na operesheni maana yake ni kulinda kuzuia na kupambana ndugu mchambuzi na wengine hapa tunatakiwa tujue jeshi linalinda nini linazuia nini na linapambania nini jeshi linatakiwa lilinde nchi lizuie maadui na lipambanie haki kwa hiyo hata ukiona majeshi yanaenda nje ya nchi au sehemu yoyote ile wanaenda kufanya kazi hizo tatu ndio maana ya kamisheni au operesheni za kijeshi nchi ya Kenya kila siku inavamiwa na wahuni wenye silaha kuanzia mipakani hadi katikati ya miji wanafanya mashambulizi halafu wanatoka bila kudhurika sasa je hilo jeshi la Kenya limelinda nchi limezuia maadui wasiingie na kufanya uhalifu limepambania haki za wakenya maana kila siku wahalifu kutoka nje ya Kenya wanaingia Kenya kuhusu vifaa vya kijeshi ni lazima Kenya iwe na vifaa vizuri sana vya kijeshi kutoka uingereza na marekani kwasababu uingereza na nchi nyengine za wazungu huja Kenya kufanya mazoezi yao ya kamisheni za kijeshi baada ya mazoezi Kwa vile zile ni zana za kijeshi lazima Zikabidhiwe jeshi la Kenya kwa ajili ya uangalizi kuhusu bajeti ni lazima bajeti ya jeshi la Kenya iwe kubwa zaidi kutokana na vifaa walivyoachiwa kwa hivyo huwezi kusema jeshi la Kenya ni bora kuliko la Tanzania jeshi la Tanzania linailinda Tanzania ndio maana Tanzania iko salama jeshi la Tanzania linazuia maadui wasiingie kufanya uhalifu ndio maana Tanzania haivamiwi mara kwa mara na wahuni wenye silaha jeshi la Tanzania linapambania haki ndio maana raia wake wanatembea kwa kujiamini pande zote za nchi bila matabaka pia jeshi la Tanzania ndio jeshi pekee Africa mashariki lililoshiriki na kufanya vizuri katika kamisheni mbalimbali za kijeshi jeshi la Tanzania ndio jeshi bora zaidi kuliko la kenya

    Reply
  2. indwirodagency says:
    4 months ago

    Muongo

    Reply
  3. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tz wako vzur

    Reply
  4. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wajichanganye wakenya kama hawaijui vizuri tz

    Reply
  5. indwirodagency says:
    4 months ago

    Jidanganyeni sisi tunajeshi la mgambo linapenda vita kuliko kula kaulize nchi ilivyowapa uhuru africa na lipovamiwa na shababu unamtisha nani sisi mtume alishida na jeshi dogo jidangsnyeni tunawatamani kama tutaviteka vyote hivyo leteni ujinga wenu mnatukana tu nawangalia 2 mnataka msaada wa kupinfua nchi yenu mpate ardhi kama ss jez mnakili ya alonacha ila sisi tupo makini na hapa naaidi mbele mungu tanzania nitakulonda mpaka kifo hiki ni kihapo cha yote tuliosoma shule.ya serekal alafu sisi silaha tunapataga huko huko vitani

    Reply
  6. indwirodagency says:
    4 months ago

    Fala wewe

    Reply
  7. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wewe kakupa nani idadi hio

    Reply
  8. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya wajilinganishe wao na Al shababi ndo kidoogo watalingana lingana wasijiliinganishe na tanzania kamwe. Tangu uhuru wa tanzania sijawahi kusikia kikundi chochote cha kigaidi kujaribu kuvamia tanzania, Bali naona kwa yeyote anaetaka kuijaribu tanzania Hukiona " cha mtemakuni"

    Reply
  9. indwirodagency says:
    4 months ago

    Ivi kenya inaistolia yoyote yavita izotakwim zinatolewa mashoga wenzenu kama makabulu walikaa udiamini mwenyewe ndio uyo kama alishababi inawatowa vishundu

    Reply
  10. indwirodagency says:
    4 months ago

    TANZANIA ni hatariii sanaaa si kama anavyo chambua MCHAMBUZI huyu. Tanzania impepambana sana vita vingi kuliko Kenya amini aisee

    Reply
  11. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya ni moto mkali 🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    Reply
  12. indwirodagency says:
    4 months ago

    Nithamu na umoja ndio nguzo kuu ya mafanikio

    Reply
  13. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kwahiyo unataka Nini sasa maandamano bado kufanyik wewe unakuja na jeshi kweli nyinyi hamnazo

    Reply
  14. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tanzania the hero jeshi la kenya ni chini yakiwango

    Reply
  15. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tanzania Wataki hii post

    Reply
  16. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya ilipigana vita ipi ikashinda?Nina maana Haina udhoefu katka medani ya vita! Na fita ni fita mura!!!vita ni mahusiano na vita ni rasilimali Kenya wanazo?Ndio maana Ukraine katunisha msuri na urusi!Jambo usilolijua acha kaa kimya! Unazijua robot za kimila wewe?! Huwa zipo kazini!!!

    Reply
  17. indwirodagency says:
    4 months ago

    Huo niongo

    Reply
  18. indwirodagency says:
    4 months ago

    Uchambuz wa kishenzi us fananishe tz nahao wala mirungi

    Reply
  19. indwirodagency says:
    4 months ago

    U r comparing Kenya with those dudes😂😂😂😂

    Reply
  20. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wakenya tuna damu ya udugu hatuna nywinywi like the way your politicians call us creature wanaotiririka who lack direction to go

    Reply
  21. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tanzania military speacial Ardhini ndo jeshi no 1 Africa not East africa

    Reply
  22. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya ni inch ndogo sana hawezi kupambana na akisema anaivamia tz hawezi ataumia tuu kwenya anapolelekea siyo kizuri

    Reply
  23. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tanzania ni Moto mkali kwa sababu wanajeshi wao wanamiliki silaha za kichina

    Reply
  24. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tanzania ina record nzuri ya kushinda vita vingi na kusaidia nchi nyingi kijeshi Africa ukilinganisha na Kenya haijawahi pigana na kushinda vita yeyote ile duniani

    Reply
  25. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wenye ameleta hio uchambuzi yeye anataka ukomenti yeye ingize pesa . please wacha kutusi Kenya, again wacha kutusi tanzania.be very careful we are bro and sisters.

    Reply
  26. indwirodagency says:
    4 months ago

    Hujui chochote

    Reply
  27. indwirodagency says:
    4 months ago

    Ten ajui kitu chochote tanganyik tulishilik kwenye nchi nyingi kuwasahidia kupata uhuru

    Reply
  28. indwirodagency says:
    4 months ago

    Muongo mjinga hyo Siri ya ieshi

    Reply
  29. indwirodagency says:
    4 months ago

    Unafirwa wewe

    Reply
  30. indwirodagency says:
    4 months ago

    KENYA CAN NOT FIGHT TO TANZANIA TANZANIA ITS LIKE NYC OF MIDLIST 🌎💪💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️👀

    Reply
  31. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya Hoye 💪

    Reply
  32. indwirodagency says:
    4 months ago

    Mchambuzi wewe ni mkenya wewe!!!!!

    Reply
  33. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wewe faratu hunaunachojua kuhusu jwtz msenge wewe

    Reply
  34. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wee mchambuzi muflis hujui lolote tena acha uchonganishi kwa mataifa ndugu Tanzania na Kenya ni ndugu wewe ni kibaraka wa wakoloni ukome shetani lazima atakuwa hawara wako nasema tena ukome ukome dadadek

    Reply
  35. indwirodagency says:
    4 months ago

    Uyu mkenya ni msenge mpunbavu sana wewe msenge malekani ndoho wanawap misahada

    Reply
  36. indwirodagency says:
    4 months ago

    Pumbavu

    Reply
  37. indwirodagency says:
    4 months ago

    Hizo takwimu za kujiifurahisha mwenyewe hakuna jeshi hapo pambana na al shbaabu ni saizi yako

    Reply
  38. indwirodagency says:
    4 months ago

    Hii ni kutafuta chokochoko what we need is peace

    Reply
  39. indwirodagency says:
    4 months ago

    Ako sawa mchanganuzi….Kaa unateta ingia google usiwe na kinyongo na kenya

    Reply
  40. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tz ipo juu tu

    Reply
  41. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wataje na askari wa British army ya Nanyuki wanamlinda nani wanlinda koloni

    Reply
  42. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tz nijeshi bola linauzowefu wamapigano ukianzia makabulu Uganda udiamini kenya alishababi uwa inawagongesha alafu kenya nijeshi lamashoga

    Reply
  43. indwirodagency says:
    4 months ago

    Aende kwenye history ya Mwaka 1972,nyang,'au,
    na 1972 Kwa Banda wa Malawi, utapata majibu sahihi kabsa,

    Reply
  44. indwirodagency says:
    4 months ago

    Nyangumi

    Reply
  45. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kwa Malawi

    Reply
  46. indwirodagency says:
    4 months ago

    Achana na TANZANIA we hujui jeshi letu

    Reply
  47. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tanzania ndio yenye nguvu zaid

    Reply
  48. indwirodagency says:
    4 months ago

    Nguvu Sio Wingi Wa Siraha Wala Wingi Wawatu Ni Ujanja Wa Kivita Ndo Kitu Bolo

    Reply
  49. indwirodagency says:
    4 months ago

    Jeshi la Tanzania 🇹🇿 ndio jeshi bora na imara 💪 kuliko jeshi la Kenya 🇰🇪

    Reply
  50. indwirodagency says:
    4 months ago

    Jipe moyo tu huwezi kujua mambo yetu ya ndani TPDF ni hatari Africa

    Reply
  51. indwirodagency says:
    4 months ago

    Huyu ni mchochezi anachochea vita kat ya Tnzania na Kenya anataka wapigane ili yy aingize kipato authubilahi minshetwani rajiim hutpfanikiwa Kwa uwezo wa mungu

    Reply
  52. indwirodagency says:
    4 months ago

    Propaganda 🤢

    Reply
  53. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya tuko juu Kwa kilakitu, ila tunatumia akili ndefu kitambo mtuelewe matakua mmeumia, mfano Uganda tumewakodishia migingo, alshababu tunauza nao mkaa, SASa uhadui uko wapi Hawa ni majirani ,Tena sisi tukitaka kuandamana tunatoa kitu halafa tunapiga sherehe Kwa barabara tofauti na nyinyi, ikisikia kuhaijakiwa nisisi wenyewe tunajificha Kwa mashamba ya majani chai na kahawa halafu twajitokeza ,na nyinyi kilakitu mnafanya kikweli,kubalini tumewazidi Kwa mipangilio ,nguvu, na akili Tanzania Bado sana labda mtazidi Kwa masufuri

    Reply
  54. indwirodagency says:
    4 months ago

    Huyu mkenya amechanganyikiwa

    Reply
  55. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya Iko na 50000 active military force, paramilitary GSU 10000,na AP para 20000

    Reply
  56. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya wako na Ml 28 havoc zaidi ya10 attack helicopters za kuchafua kifaa chochote Cha adui kinachotambaa ardhi

    Reply
  57. indwirodagency says:
    4 months ago

    Unawajua JKT wewe na idadi kubwa ya wanachuo kabla ya kuingia chuoni wakimaliza form 6 wanakwenda JKT kabla ya kuendelea na masomo😂😂

    Reply
  58. indwirodagency says:
    4 months ago

    Waongeze.vijana.kijeshi.kulingana.naulimwingu.unaendaje.asaivi.tuache.masiala.tutakuja.kupigwa.kamawatoto

    Reply
  59. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya

    Reply
  60. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tz hatuna jeshi kabisaaa

    Reply
  61. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wakenya wakikufata wewe basi ushawamaliza

    Reply
  62. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wanjeshi wa kenya wamesumbuliwa na shababu 60 wakisomali hawana lolote wakenya

    Reply
  63. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tumekutana wote hatujui chochote

    Reply
  64. indwirodagency says:
    4 months ago

    HATA IDD AMIN ALIKUA ANA SILAHA KALI LKN ALIDUNDWA,KUA NA BAJETI KUBWA C VITA,

    Reply
  65. indwirodagency says:
    4 months ago

    KM NINI TUZICHAPE JAPO ZA SIKU 3 TU MUONE KM HATUTOFIKA NAIROBI KM TULIVYOINGIA KAMPALA

    Reply
  66. indwirodagency says:
    4 months ago

    Unajisifu umepigana wkt unapigana na maharamia wa kisomali!? Waulizeni walaiberia, syschells,msumbiji,m23 ,waganda na shoga zenu wengine watakwambieni

    Reply
  67. indwirodagency says:
    4 months ago

    Waambie hao wakenya wenzio wajaribu Kidogo tu, alafu ujue kwanini Rough Road doesn't have zebra crossing

    Reply
  68. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya wameenda kusaidia kulinda amani Kwetu HAITI 🇭🇹 lakini mpaka leo wanahangaishwa na kundi la wahuni wa mtaani ila wangeenda JKT wa Tanzania 🇹🇿 wangesha maliza mission 😂😂 vyombo vya kisasa kenya wanajitahidi ila shida mafunzo ya medani za kivita na uwezo wa kijeshi ndo kipengele yaani Kenya na vifaa vyake vyote hata tukimuachia ndugu yetu Rwanda nchi ndogo wapigane nayo Kenya haiwezi kuhimili naamini ndani ya miezi mitatu Naamini Kagame Atakua ndani ya Ikuru ya kenya kama President😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    Reply
  69. indwirodagency says:
    4 months ago

    america

    Reply
  70. indwirodagency says:
    4 months ago

    We peleka matope huko hiyo ni uchambuz gani,waambie bas waingie kumi na nane zetu

    Reply
  71. indwirodagency says:
    4 months ago

    Muongoooo tuna mpaka vt 2 tanks pia tuna magari kutoka uturuki huna unalolijua kuhusu tanzania

    Reply
  72. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tuna vitu vingi kenya hawana yaani hii mijitu ya kenya inapenda sifa za kijinga nenda kaangalie miaka 60 ya jwtz utaona baadhi

    Reply
  73. indwirodagency says:
    4 months ago

    Uchambuzi umeelemea upande mmoja inaelekea huo ni unazii na ufashinisti

    Reply
  74. indwirodagency says:
    4 months ago

    Atawaponza wakenya maana lugalo hata vifaa havionekani

    Reply
  75. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tz juuuu juuu

    Reply
  76. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya ni nchi ya kibaraka wa marekani na jeshi lake ni jeshi la vibaraka wa marekani

    Reply
  77. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya msijidanganye tutakupigeni hadi mtashangaa

    Reply
  78. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tanzania ni baba lao nidham niushindi kuliko silaa yoyote alio wahi tengeneza binadam duniani

    Reply
  79. indwirodagency says:
    4 months ago

    Upumbavu wa Kenya utajulikana tu siku wakijidai wanapigana na Tz Tanzania ni Twiga na Kenga ni simba teke moja tu la twiga latosha kuondoa uhai wa simba, japokuwa simba anaongoza kwa ukali kelele na fujo hivyo simba mmoja hafui dafu kwa twiga mmoja. Hilo tu litoshe kujua kwamba Tanzania ni zaidi ya Kenya kwa vision na power. Tunakula vya juu na tunaona mbali ambako simba hana hizo sifa.

    Reply
  80. indwirodagency says:
    4 months ago

    Upumbavu wa Kenya utajulikana tu siku wakijidai wanapigana na Tz Tanzania ni Twiga na Kenga ni simba teke moja tu la twiga latosha kuondoa uhai wa simba, japokuwa simba anaongoza kwa ukali kelele na fujo hivyo simba mmoja hafui dafu kwa twiga mmoja. Hilo tu litoshe kujua kwamba Tanzania ni zaidi ya Kenya kwa vision na power. Tunakula vya juu na tunaona mbali ambako simba hana hizo sifa.

    Reply
  81. indwirodagency says:
    4 months ago

    Jidanganyeni tz ni bora saana dhidi ya kenya

    Reply
  82. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya na tazania na Uganda ni ndugu

    Reply
  83. indwirodagency says:
    4 months ago

    Ira hapo mtafautishe mwenye panga na mwenye upinde ndipo mtajua mubabe nipeni jibu niweze kuwapa jibu nimukenye

    Reply
  84. indwirodagency says:
    4 months ago

    Sisi tanzania ni wa jamaa .huwezi jua silaha zetu

    Reply
  85. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya hawatuwezi TZ na ndo mana tukienda nchi yoyote kulinda amani tunaogopwa na kuandamwa sana pesa si utaalamu wa kivita

    Reply
  86. indwirodagency says:
    4 months ago

    Ameegemea upande wa kenya cku wajichanganye ndio watajua kumbe jeshi la Tanzania sio la masihara

    Reply
  87. indwirodagency says:
    4 months ago

    Watanznia wanaongea ju wameelewa kiswahili 😂💔

    Reply
  88. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya hawajawah kupigana vita kwanza wapigane na Uganda

    Reply
  89. indwirodagency says:
    4 months ago

    Majeshi yote Yana uwezo mzuri tu. Na wewe uliechambuz ni mpumbavu tu.

    Reply
  90. indwirodagency says:
    4 months ago

    Jambo la ukubwa wa majeshi na uwezo ni Siri ya nchi nani ukupe wewe mmbwa taarifa za ndani😂😂😂

    Reply
  91. indwirodagency says:
    4 months ago

    Wewe nimkenya ujui chochote jeshi nisiri fala kweli mtu angu

    Reply
  92. indwirodagency says:
    4 months ago

    Tunaangalia nidhamu

    Reply
  93. indwirodagency says:
    4 months ago

    Jeshi la Kenya ni la wazungu. Siyo la mwafrika

    Reply
  94. indwirodagency says:
    4 months ago

    KENYA 🇰🇪 INAFAHAMIKA WAAZI KUWA NI KIBARAKA WA ULAYA MAGHARIBI NA AMERICA 🇺🇸 KWAKUWA NI KIBARAKA WA MABEBERU , NI KWELI HIVI KARIBU TU MABEBERU WALIMPA SIRAHA NYINGI ZA BURE ILI IKIWEZEKANA AZITISHE HIZI NCHI ZA AFR/MASHARIKI , NA NILIMSIKIA RAISI JOE BIDEN , MWAKA JANA BAADA YA KUWAPA SIRAHA HAAWA MAMURUKI NA VIBARAKA YAANI ',,KENYA ALISEMA KENYA NI SEHEMU YA NATO YA AFRIKA"" NILIMUONA YULE MZEE NI MPUMBAVU TU PAMOJA NA VIBARAKA WAKE HAO WASHENZI TU HAWANA LOLOOTE,,

    Reply
  95. indwirodagency says:
    4 months ago

    Kenya japo ndugu zetu tuzichape ata 3days .
    Somaria nn sisi tulifukuza idi amini alio sumbua East Africa..

    Reply
  96. indwirodagency says:
    4 months ago

    Good job

    Reply
  97. indwirodagency says:
    4 months ago

    Do not compare Kenya with Tanzania bro,in terms of military,Kenya is a super power of East Africa

    Reply
  98. indwirodagency says:
    4 months ago

    Mbona jeshi la Tanzania wameshindwa ata kumaliza watu wanaowateka ndani nchi Yao wenyew. Me ninavyoona Kenya na Tanzania wote hatuna majeshi Kenya na wenyew wanasumbliwa na makundi za kijinga East Africa hakuna jeshi in general

    Reply
  99. indwirodagency says:
    4 months ago

    Unazani unaweza kupata siri za jeshi la Tanzania,siraha ni siri.

    Reply
  100. indwirodagency says:
    4 months ago

    Jinga sana ww

    Reply

Leave a Reply to @ErickMutunga-w5g Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

BRUNO K & KABUYE SSEMBOGA EBIGAMBO (Official Video)

BRUNO K & KABUYE SSEMBOGA EBIGAMBO (Official Video)

2.5k Views
June 14, 2025
Nze sirogangako ku Carol Nantongo – Hajjati Stecia Mayanja ayogedde.

Nze sirogangako ku Carol Nantongo – Hajjati Stecia Mayanja ayogedde.

2.5k Views
June 14, 2025
Weyayu (Where Are You) – Acidic Vokoz (Official Video) Latest New Ugandan Music 2025

Weyayu (Where Are You) – Acidic Vokoz (Official Video) Latest New Ugandan Music 2025

2.5k Views
June 14, 2025
Copyright (c) 2019 by Jegtheme.
  • About
  • Buy JNews
  • Request A Demo
  • Contact

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In

Add New Playlist

No Result
View All Result
  • Home 1
  • Home 2
  • Home 3
  • Latest
  • Trending

© 2025 Ugvideos